BURIANI KEN WALIBORA
NA HUSSEIN M KASSIM Kama ni machozi, basi yanitoka kapakapa Kama ni jitimai, sonono haliniishi Mawazo na fikra? Ni mkururo baada ya mwingine. Tanzia ya kifo chake baba Kennedy…
Continue Reading
BURIANI KEN WALIBORA
NA HUSSEIN M KASSIM Kama ni machozi, basi yanitoka kapakapa Kama ni jitimai, sonono haliniishi Mawazo na fikra? Ni mkururo baada ya mwingine. Tanzia ya kifo chake baba Kennedy…
Na Hussein Kassim Husni Kazini ndicho kigezo, kuongeza mishahara Mabosi wana uwezo, kufanya twa kila mara Wanatiliwa vikwazo, walio kwenye ajira Twa twa twa ndio mchezo, twa hakika inakera …
Kabla sijaoa, nitataka kuwa na hakika kuwa anafaa kweli. Nitataka kudadisi hulka zake kwa upana. Nimpitue, halafu nimweke sawa. Nimkunje, kisha nimkunjue. Nimvae, kisha nimvue. Nimwangushe, kisha nimwinue. Nimtege, halafu…